(1). HADITHI YA QIYAMA BISMILLAHI 'RRAHMAHI 'RRAHIYM, 1. Akhi patiyani wino, Na karatwasi mfano, IfgHgstw Na qalamu muayano, Ilonjema kwandadikiya 2. Munipatiye mahali, Niketi nitajamali. Nituze yangu akili, Niwaze na kushangaa 3. Nandike ina la Mungu, Wa tangu kae na tangu, Hana kae Mola wangu, Aswili mwenyekuyuwa 4. Nandike ina la Mungu, Bismillahi watangu, Ndiye mtandika mhingu, Na nti ikatuliya. 5. Nandike Arrahmani, Mwenye kuumha duniyani, Kwa insi na majini, Na nyama wa kutambaa KUPA. 6. Nandike na Arrahiymu, Aruzuquo qaumu, Wa easa na wa kadimu, Kesho akiwaridhiya* | Dhiumbe dhake £halaqi, Wote kawapa riziqi* Haswa hawa makhluqi, Ampao asomuyuwa Hapa nilipokomele, Sihitaji kwenda mhele, Swifa zawetu teule, Muhammadi Mursaa# V, | 9. Swifa hizi......